Mkuu wa Wilaya Ya Kasulu, Kanali  Martin Mkisi akipokea madawati kutoka kwa Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la Oxfam hapa nchini,  Jane Foster leo mjini Kasulu.
 Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali  Martin Mkisi akiwa wakiwa wamekaa na Mkurugenzi Mkaazi wa shirika la Oxfam hapa nchini (katikati) na Mkurugenzi wa Halmashauri ya mji wa Kasulu, Fatina Laay Kamara baada ya kukabidhiwa madawati mjini Kasulu leo.
Mkuu wa Wilaya Ya Kasulu, Kanali  Martin Mkisi akizungumza mara baada ya kukabidhiwa madawati na Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la Oxfam hapa nchini Mjini Kasulu leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...