Julita N Mongi, mwanachama mpya wa PSPF kupitia mpango wa uchangiaji wa hiari, PSS, akionyesha kitambulisho chake cha uanachama alichokabidhiwa dakika 5 tu baada ya kujaza fomu. Huduma hiyo inatolewa kwenye banda la PSPF lililoko jengo la Wizara ya Fedha kwenye maonyesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa, viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam Julai 3, 2016. Wananchi wengi wamejitokeza kujiunga na Mfuko huo na kudhihirisha kuwa ni chaguo la wengi. (PICHA NA K-VIS MEDIA/KHALFAN SAID)
 Julita akikabidhiwa kadi yake na Afisa Masoko wa PSPF, Magira Werema
 Mstaafu ambaye kwa sasa ni Mkulima wa Turian, Mzee Gabriel E. Kiogwe (84), akijaza za kujiunga na mpango wa PSS.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...