MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kuwa mwingiliano wa kazi kati ya Mameya na wakuu Wilaya husababisha kushindwa kuelewana.

Makonda ameyasema hayo leo wakati wa hafla ya kuwaapisha wakuu wa Wilaya tano za jijini Dar es salaam, amesema kuwa Mkuu wa Wilaya anaweza kuingia katika Baraza la Madiwani au Katibu Tawala wa Wilaya na wakati mwingine kuweza kuzungumza jambo katika baraza la madiwani.

Amesema kuwa meya licha kufanya kazi hiyo anatakiwa kuwa na kazi nyingine  ya kumuingizia kipato ambapo ni tofauti na Mkuu wa Wilaya ambaye anamuwakilisha Rais.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...