​Mheshimiwa William Ole Nasha (MB) Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi na Msemaji Mkuu wa CCM Ndg Christopher Ole Sendeka wahudhuria sherehe ya kimila zilizofanyika katika Kijiji cha Lumba,Kata ya Gelai Lumbwa, Mkoani Arusha nyumbani kwa mhe Diwani Saimon.
 Msemaji Mkuu wa CCM Ndg Christopher Ole Sendeka akiongea na wananchi katika  sherehe ya kimila zilizofanyika katika Kijiji cha Lumba,Kata ya Gelai Lumbwa, Mkoani Arusha nyumbani kwa mhe Diwani Saimon.
​Mheshimiwa William Ole Nasha (MB) Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi akiongea katika sherehe ya kimila zilizofanyika katika Kijiji cha Lumba,Kata ya Gelai Lumbwa, Mkoani Arusha nyumbani kwa mhe Diwani Saimon.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...