Msemaji Mkuu wa CCM Ndg Christopher Ole Sendeka akiongea na wananchi katika sherehe ya kimila zilizofanyika katika Kijiji cha Lumba,Kata ya Gelai Lumbwa, Mkoani Arusha nyumbani kwa mhe Diwani Saimon.
Mheshimiwa William Ole Nasha (MB) Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi akiongea katika sherehe ya kimila zilizofanyika katika Kijiji cha Lumba,Kata ya Gelai Lumbwa, Mkoani Arusha nyumbani kwa mhe Diwani Saimon.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...