Makamu wa Rais wa Huduma wa Shirika la Ndege la Etihad, Sajida Ismail, Makamu wa Rais wa Uhusiano wa shirika hilo, Calum Laming akipokea tuzo za Skytrax World Airline ya World Best First Class Airline, World’s Best First Class Onboard Catering na World’s Best First Class Airline Seat

Shirika la ndege la Etihad limetunukiwa tuzo tatu za ubora wa juu kwenye madaraja  pia tuzo ya ubora kwenye huduma za vyakula pia  tuzo ya ubora kwenye malazi  kutoka Skytrax Worldairline Awards, zilizotangazwa NCHINI uingereza.

Tuzo hizo za World Airline ni za kimataifa na huhusisha mashirika ya ndege yanayofanya vizuri katika sekta ya usafiri wa anga. Mshindi huchaguliwa kwa kura kutokana na mchakato ambao huchukua miezi 10 kukamilika kwake huku ikujumuisha wasafiri takribani milioni 18 kutoka katika nchi zaidi ya 100 ulimwenguni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...