Mchezo wa saka saka unaoendeshwa na kituo cha efm redio 93.7 baada ya kufanya shindano hili katika mkoa wa Dar es salaam katika wilaya za Temeke, Ilala na Kinondoni sasa imeenda mkoa wa Pwani na siku ya jumapili ya tarehe 03/07/2016 iliwafikia wakazi wa Mkuranga katika viwanja vya shule ya sekondari ya Mwinyi.
Baadhi ya wakazi wa Mkuranga wakiwa wana saka saka katika eneo husika, kidubwasha kilichofichwa.
Meneja utafiti na ubunifu wa EFM akihakiki kidubwasha cha mmoja ya washiriki wa saka saka.
Mshindi wa milioni 2, Bi Zalina Abusheikh akiwa anahojiwa na mtangazaji Chogo kushoto.
Washiriki wakiwa wanasubiri kukaguliwa kuwa kile walicho kisakasaka nichenyewe.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...