Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama sanduku ambalo ni maabara inayohamishika inayoweza kutumika katika zahanati na vituo vya afya ambayo imetengenezwa na kampuni ya Acuuster Technologies Pvt Limited ya India, Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Julai 12, 2016. Kulia kwa Waziri Mkuu ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya , Dkt. Mpoki Ulisubisya na kushoto kwake ni Mkurugezi Mtendaji wa kampuni hiyo, Amit Bhatnagar. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Home
Unlabelled
Waziri Mkuu akutana na Wataalam wa Maabara inayohamishika
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...