Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama sanduku ambalo ni maabara inayohamishika inayoweza kutumika katika zahanati na vituo vya afya ambayo imetengenezwa na kampuni ya Acuuster Technologies Pvt Limited ya India, Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Julai 12, 2016. Kulia kwa Waziri Mkuu ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya , Dkt. Mpoki Ulisubisya na kushoto kwake ni Mkurugezi Mtendaji wa kampuni hiyo, Amit Bhatnagar. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...