Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo akizungumza na viongozi wa Jimbo la Kiembe Samaki jana julai 7 kabla ya kuwapa pesa kwaajili ya skukuu hafla hiyo imefanjika katika tawi la CCM Kiembe samaki Mjini Zanzibar.
Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akimkabidhi fedha katibu wa wadi ya Kiembe samaki Bi. Zainab Ali Suleiman.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...