Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mh Gerson Lwenge akipata maelezo mafupi ya huduma ya DAWASCO kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASCO, Mhandisi Cyprian Luhemeja wakati alipotembelea banda la Shirika hilo leo. Maonyesho hayo yaliyofunguliwa mapema wiki hii na Rais wa Rwanda Mh Paul Kagame na yanatarajia kufika kilele mwisho wa wiki hii ambapo kampuni zaidi ya 600 kutoka ndani na nje ya Nchi ya nchi zimeshiriki. (Picha na Robert Okanda)
Waziri Lwenge akipata maelezo ya upimaji wa ubora wa maji kutoka kwa Afisa Ubora wa Maji wa DAWASCO, Sinza Mongela alipotembea Banda la shuirika hilo leo. 
Waziri Lwenge akidodosa jambo baada ya kupata maelezo ya upimaji wa ubora wa maji kutoka kwa Afisa Ubora wa Maji wa DAWASCO, Sinza Mongela alipotembea Banda la shuirika hilo leo. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...