Mshindi wa Promosheni ya Bia ya Asili ya Nzagamba inayowawezesha wanywaji wa Bia hiyo kujishindia Ng'ombe kila wiki kwa mkoa wa Mwanza, Juma John (kushoto) mkazi wa Kisesa Mkoani humo akipokea zawadi yake ya Ng'ombe Dume la Nzagamba kutoka kwa Mkuu Kiwanda cha Nzagamba Jijini Mwanza,  Herbat Kilembo (kulia) mara baada ya kuibuka Mshindi kwa wiki ya kwanza ya Promoseni hiyo. Wanaoshuhudia ni Meneja Masoko wa Bia ya Asili ya Nzagamba, Oscar Shelukindo (mwenye Miwani) pamoja na Meneja Mauzo wa Bia ya Asili ya Nzagamba, Fred Kazindogo.
Mshindi wa Promosheni ya Bia ya Asili ya Nzagamba inayowawezesha wanywaji wa Bia hiyo kujishindia Ng'ombe kila wiki kwa mkoa wa Mwanza, Juma John akikabidhiwa zawadi yake ya Ng'ombe mbele ya halaiki wa wakazi wa jiji la Mwanza.
Watumiaji wa kinywaji cha Nzagamba mkoani Mwanza kwenye eneo la Igoma wakifuatilia shindano la kumtafuta mshindi wa Dume la Ng'ombe "Nzagamba" linaloendeshwa na kinywaji cha Nzagamba kwenye mikoa ya kanda ya ziwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Nimepata wazo. Tuanzishe mashindano ya kusoma vitabu vya kuelimisha, kwa kila wilaya, na washindi wapate angalau mbuzi au jogoo. Ninajitolea kuchangia mbuzi watano na majogoo kumi kila mwaka.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...