Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band maarufu kama FFU-Ughaibuni inayoongozwa na mwanamuziki nguli Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja juzi kati ya jumamosi ya 13 Septemba 2016 ilifanikiwa tena kulitingisha jiji la Frankfurt nchini ujerumani katika maonyesho ya Afrika-Karibik Festival yaliyo fanyika katika viwanja vya Rebstock Park,ambapo bendi hiyo iliwatia kiwewe waudhuriaji wa onyesho hilo.
Bendi hiyo maarufu na mdundo wake "Bongo Dansi" inatajwa kuwa ndio bendi imara ya kiafrika kudumu kwa muda mrefu na kuteka soko la muziki barani ulaya.
wape Hi at www.facebook.com/ ngomaafricaband
Ngoma Africa band wakishambulia jukwaa jijini Frankfurt
Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja akiongoza gwaride la FFU Ughaibuni
Mashabiki wa kila rika na rangi walipata kiwewe kila dakika ngoma zikipigwa
Palikuwa hapatoshi
Kiongozi wa Ngoma Africa Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja akizongwa na mashabiki baada ya gwaride kali la FFU Ughaibuni jijini Frankfurt
FFU-Ughaibuni chini ya kamanda mti mkavu Ras makunja kiongozi wa viumbe wa ajabu Anunnaki aliens si mchezo
ReplyDeleteWatoto wa mbwa aka ngoma afrika band wasio pingika kila kona mnatesa
ReplyDelete