Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako, kifurahia jambo wakati alipokutana na Mwenyekiti wa “Nathan Mpangala Foundation (NMF),” ambaye pia ni mchora vibonzo, Nathan Mpangala (katikati) na Mkurugenzi wa “Education Improvement Trust Fund (EITF),” Joseph Chikaka, Jumamosi iliyopita mjini Dodoma. NMF yenye lengo la kuwawezesha vijana kujifunza mambo mbalimbali kupitia sanaa kwa kushiriki kwa vitendo ilitumia ziara hiyo kujifunza uzoefu na kuona ni maeneo gani programu zake zinahusiana na somo la stadi za kazi. (Picha kwa hisani ya NMF)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...