Maneja Usambazaji wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Robert Noel (kulia) akionesha kwa mmoja wa wateja baadhi ya bidhaa za mawasiliano ya intaneti zinazotolewa na kampuni hiyo katika maonesho ya bidhaa na huduma mbalimbali za TTCL, kwenye Jengo la Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) leo jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wateja waliotembelea maonesho ya bidhaa na huduma mbalimbali zinazotolewa na Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) akihudumiwa kwenye Jengo la Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) leo jijini Dar es Salaam. Kikosi cha wafanyakazi wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kilichofanya maonesho ya bidhaa na huduma mbalimbali zinazotolewa na shirika hilo kwa wadau kwenye Jengo la Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) leo jijini Dar es Salaam. Mmoja wa maofisa wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) akitoa ufafanuzi kwenye maonesho ya bidhaa na huduma mbalimbali zinazotolewa na shirika hilo kwa wadau kwenye Jengo la Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) leo jijini Dar es Salaam. Sehemu ya kikosi cha wafanyakazi wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kilichofanya maonesho ya bidhaa na huduma mbalimbali zinazotolewa na shirika hilo kwa wadau kwenye Jengo la Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) leo jijini Dar es Salaam kikiwa katika picha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...