Kamishna wa Polisi Jamii nchini (CP) Mussa A.Mussa, (alietangulia) akikagua ujenzi unaoendelea wa kituo cha Polisi Mkuranga, huku akiwa ameongozana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani ACP Bonaveture Mshongi (katikati), pamoja na viongozi wengine wa Jeshi la Polisi toka Makao Makuu alioongozana nao wakati wa ziara yake ya kikazi ya kuimarisha usalama wa raia na mali zao katika mkoa wa Pwani, jana.
Kamishna wa Polisi Jamii nchini (CP) Mussa A.Mussa, akizungumza na maafisa watendaji kutoka wilaya ya Mkuranga pamoja na Waalimu wa shule ya msingi ya Kimanzichana, wakati akiwa katika ziara ya kikazi ya kuimarisha usalama wa raia na mali zao katika mkoani Pwani, jana. (Picha zote na Jeremiah Mbuge – Jeshi la Polisi).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...