Mkuu
wa mkoa wa Kilimanjaro,Said mecky Sadiki akishiriki katika uchimbaji wa
msingi kwa ajili ya ujenzi wa madarasa matatu katika shule ya msingi
Msamadi ,uchimbaji ulioenda sanjari na uzinduzi rasmi wa kampeni ya
kuchangia ujenzi wa vyumba vya madarasa katika wilaya ya Hai. Mkuu
wa wilaya ya Hai,Gelasius Byakanwa akishiriki kuchimba msingi kwa ajili
ya ujenzi wa madarasa matatu katika shule ya msingi Msamadi iliyopo
wilayani Hai. Kaimu
Katibu Tawala wa wilaya ya Hai,Juliet Mushi akishiriki kuchimba msingi
kwa ajili ya ujenzo wa madarasa matatu katika shule ya msingi Msamadi
iliyopo wilayani Hai.
Msingi kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa katika shule ya msingi Msamadi ukiwa umechimbwa na wananchi wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kuchangia ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa shule zilizoko wilaya ya Hai.
Msingi kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa katika shule ya msingi Msamadi ukiwa umechimbwa na wananchi wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kuchangia ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa shule zilizoko wilaya ya Hai.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...