Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Dkt Binilith Mahenge akipokea msaada wa Vifaa kutoka kwa Afisa Mahusiano wa kampuni ya Mantra Tanzania Khadija Pallangyo.
Kampuni hiyo inajihusisha na utafiti wa uchimbaji wa Madini aina ya Uranium katika eneo la Mto mkuju wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma , imekabidhi msaada wa vifaa mbalimbali vya ofisi kwenye Ofisi ya Dawati la kipolisi la Kushughulikia masuala ya ukatili wa Kijinsia na watoto mjini Songea mkoani RUVUMA vikiwa na thamani ya shilingi milioni 12.
Kampuni hiyo inajihusisha na utafiti wa uchimbaji wa Madini aina ya Uranium katika eneo la Mto mkuju wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma , imekabidhi msaada wa vifaa mbalimbali vya ofisi kwenye Ofisi ya Dawati la kipolisi la Kushughulikia masuala ya ukatili wa Kijinsia na watoto mjini Songea mkoani RUVUMA vikiwa na thamani ya shilingi milioni 12.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...