Baadhi akina Mama,familia wakiwa wameketi kuzunguka Heneza na misa ikienaendelea.
Maziko
ya Mpigapicha Mpoki Bukuku yanatarajibkufanyika leo Kijijini kwao
Msalato Dodoma yalipo makazi ya mamavyake nabyalipo makaburi ya Familia
likiwepo la Baba yake na kaka yake. Tayari waombolezaji wameshaanza
kuwasili na taratibu za mazishi zinaendelea.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...