Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa
Lindi Godfrey Zambi mara alipowasili katika uwanja wa ndege wa Nachingwea kwa
ajili ya ziara ya kikazi katika wilaya ya Ruangwa Mkoani lindi kushoto ni
mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Alli
Mohamed Mtopa
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na mkurugenzi wa
Nachingwea (DED) Bakari Mohamedi Bakari katika kiwanja cha ndege cha Nachingwea
wakati wa mapokezi ya waziri mkuu wilayani hapo waziri mkuu amefika kwa ziara
ya kikazi katika wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi
Waziri mkuu Kassim Majaliwa na mkewe Mery Majaliwa
wakifurahia ngoma ya kikosi cha JKT
843KJ kilichopo Nachingwea ambacho kilikuwepo katika mapokezi ya Waziri
Mkuu katika uwanja wa ndege wa Nachingwea .Picha na Chris Mfinanga
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...