Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imemnyima dhamana Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA) Mhe. Godbless Lema. Mahakama hiyo imeeleza kuwa mawakili wa mtuhumiwa huyo walipaswa kuonesha kusudio la kukata rufaa ndani ya siku 10 kabla ya kukata rufaa.

Hii ni mara ya tano mbunge huyo anakosa dhamana mahakamani tangu alipokamatwa Novemba 3 mwaka huu akiwa mjini Dodoma na kusafirishwa hadi Arusha katika kesi ya uchochezi inayomkabili.
Kesi hiyo itatajwa tena February 2, 2017.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. POle Mheshimiwa,lakini ukumbuke ule usemi wa chunga ulimi wako,kwani ungeliweza kutumia busara kuzungumza na ujumbe ungelifika kwa wahusika badala ya haya yaliopelekea leo wateseka na watesa familia yako.Mbona viongozi wenzako wa chama wametulia na wanazungumza kwa hoja.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...