Bw.
Alex Msama akikabidhi msaada wa chakula kwa Bi.Zainab Bakari mlezi wa
kituo cha kulea watoto yatima cha Maunga Yatima Centre kilichopo
Kinondoni jijini Dar es salaam wakati alipotembelea kituoni hapo na
kuzungumza na watoto, Msama aligawa chakula pia katika vituo vya
Honorata Temeke, Shifaa Bunju na Mwandalio kilichopo Temeke Vetenary
vyote vya jijini Dar es salaam.
Msama ametoa wito kwa watu mbalimbali wenye uwezo kwa namna yoyote wajitokeze kuwasaidia watoto yatima na wasiojiweza kwa kutoa misaada mbalimbali ili jamii hiyo nayo ifurahie msimu wa sikukuu kwa furaha kama wengine.
Bw. Alex Msama akikabidhi msaada wa
chakula kwa kituo cha Shifaa -Bunju.
chakula kwa kituo cha Shifaa -Bunju.
Bw. Alex Msama akiwaasa watoto wa kituo cha Honorata kutoka Temeke,wakasherehekee sikukuu kwa upendo na amani na kwa umoja wao wakamshukuru Mungu kwa kila jambo.
Bw. Alex Msama akikabidhi msaada wa chakula kwakituo cha Mwandalio cha Vetenary Temeke.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...