Mkuu wa wilaya ya Songea Pololeti Mgema akionyesha moja ya sehemu ambayo moto bado unawaka .
Hiyo ndiyo hali halisi ya ofisi jinsi ilivyoungua kwa ndani
Nyaraka za serikali ya kijiji cha Mtyangimbole zikiwa zimeteketea kwa moto na kubaki majivu tu.
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya madaba Shafii Mpenda wa kwanza kushoto akiwa anafatilia jambo katika mkutano wa wanakijiji ambao ulifanyika baada ya kumaliza kuzima moto
Mkuu wa wilaya ya Songea Pololeti Mgemaakizungumza na wakazi wa kijiji cha Mtyangimbole baada ya zoezi la kuzima moto kumalizika. Kwa undani wa habari hii angalia hiyo video. (Habari na RUVUMA TV)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...