Sehemu ya umati ya wakazi wa manispaa ya Iringa waliojitokeza katika”Nogesha Upendo” lililoandaliwa na WCB Wasafi na kudhaminiwa Vodacom Tanzania  lilifanyika katika uwanja wa Samora mjini Iringa jana..
 Msanii kutoka WCB, Harmonize akitumbuiza katika”Nogesha Upendo”lililoandaliwa na WCB Wasafi na kudhaminiwa Vodacom Tanzania  lilifanyika katika uwanja wa Samora mjini Iringa jana..
Msanii wa kimataifa Diamond Platinumz akitumbuiza katika”Nogesha Upendo” lililoandaliwa na WCB Wasafi na kudhaminiwa Vodacom Tanzania  lilifanyika katika uwanja wa Samora mjini Iringa jana..
  Wasanii wa muziki wa kundi la Navy Kenzo wakiwapagawisha mashabiki wakati wa tamasha la mkesha wa sikukuu ya krismasi la”Nogesha Upendo” lililoandaliwa na WCB Wasafi na kudhaminiwa Vodacom Tanzania  lilifanyika katika ufukwe wa bahari ya hindi  Jangwani Seabreez jijini Dar es Salaam.
 Mwanamuziki nguli wa muziki wa bongo fleva Diamond Platinumz akikonga nyoyo za  mashabiki wake wakati wa tamasha la mkesha wa sikukuu ya krismasi la”Nogesha Upendo” lililoandaliwa na WCB Wasafi na kudhaminiwa Vodacom Tanzania  lililofanyika katika ufukwe wa bahari ya hindi  Jangwani Seabreez jijini Dar es Salaam. Picha zaidi BOFYA HAPA


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...