Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kibuyuni Kata Panzuo, alipokuwa katika ziara yake ya kuwashukuru wananchi kwa kumchagua, pia kusikiliza kero zao, hususani ile ya Mifugo kuharibu vyanzo vya maji pamoja na mazao yao.
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega akizungumza na wananchi wa kijiji cha Mkuruwili, alipokuwa katika ziara yake ya kuwashukuru wananchi kwa kumchagua, pia kusikiliza kero zao.
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya Mbulali FC inayo shiriki kombe la Ulega.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...