Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Luhaga Mpina, kulia akiwa katika ziara ya ukaguzi wa Mazingira Keko magulumbasi katika mfereji wa maji taka mseleleko Jijini Dar es salaam mara baada ya kupata malalamiko kutoka kwa wananchi wanaoishi maeneo hayo. 
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Luhaga Mpina akimsikiliza Mtaalamu wa Mazingira kutoka NEMC, Jaffar Chimgege katika ziara hiyo ya ukaguzi wa mazingira jijini Dar es salaam. 

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Luhaga Mpina, akiwa ameongozana na wananchi wanaoishi maeneo ya Keko Magulumbasi katika ziara ya ukaguzi wa Mazingira. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...