Baada ya kukalia benchi kwa kipindi kirefu bila kudaka hatimaye benchi la ufundi la timu ya Simba limeamua kumuamini na kumpatia nafasi golikipa kijana Peter Manyika aliyewika msimu wa 2014/2015 na timu hyo.
Hii inakuwa ni mechi yake ya kwanza toka kusajiliwa kwa golikipa Vicent Angban aliyedaka nusu msimu wa 2015/2016 aliyebwagiwa manyanga na nafasi yake kuchukuliwa na m-Ghana Daniel Aggey
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...