Aliyekuwa mwana chama wa Chadema na Diwani wa Kata ya Tanga Manispa ya Songea na Mwenyekiti wa Wawanafunzi katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu John kilichopo Songea, Musa Ndomba arudi CCM. Kufuatia maamuzi hayo, mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemkabidhi Ndomba kadi ya CCM na shughuli hiyo imefanyika katika ukumbi wa CCM mkoani Ruvuma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...