Simu.tv: Waziri wa kilimo Dkt Charles Tizeba amesema Tanzania haina shida ya chakula wala njaa kama inavyoelezwa na baadhi ya watu; https://youtu.be/GJ5cbTSEBu4

Simu.tv: Baada ya kuenea kwa taarifa za kuibuka kwa baa la njaa nchini, hii hapa ndio hali ya upatikanaji wa chakula mkoani Mbeya; https://youtu.be/ldf32b3YIxo

Simu.tv: Mkuu wa mkoa wa Lindi Godfrey Zambi amesema mkoa huo hauna tatizo la chakula na kuwataka wananchi kutunza chakula kilichopo; https://youtu.be/c4aGbU82Ghw

Simu.tv: Rais Dkt John Magufuli amefanya uteuzi wa wabunge wawili wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania na balozi mmoja; https://youtu.be/dM8ynF2ixpc

Simu.tv: Waziri wa habari Nape Nnauye ametembelea shirika la utangazaji TBC na kuwataka watangazaji kulitumikia taifa kwa uzalendo; https://youtu.be/74B-bJ2ebxE

Simu.tv: Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa amezuiliwa na jeshi la polisi mkoani Geita kutokana na sababu za kiusalama; https://youtu.be/bAX7U5NAG1w

Simu.tv: Mpango wa kuendeleza kilimo kwa ukanda wa kusini umewawezesha wakulima wa viazi mkoani Njombe baada ya kupatiwa mbegu bora; https://youtu.be/Gq87HzGIF3g

Simu.tv: Wafanyabiashara nchini wameliomba shirika la viwango TBS kuongeza kasi ya ukaguzi bidhaa ili kuendana na kasi ya kibiashara na ushindani; https://youtu.be/VXk8CqqiuZM

Simu.tv: Fahamu maendeleo na tathimini ya ukuaji wa soko la hisa jijini Dar Es salaam DSE kwa wiki iliyopita; https://youtu.be/96hzPscpYlk  

Simu.tv: Shirikisho la soka nchini TFF limesema linaziangalia kwa umakini mkubwa mechi za timu kubwa ili kuhakikisha kila timu inapata matokeo halali; https://youtu.be/Ec_-VPRM1n4

Simu.tv: Kunako michuano ya soka barani Afrika AFCON tumekukusanyia hapa matokeo ya michezo iliyopigwa hapo jana na siku ya leo; https://youtu.be/Z8uQNei_-9U

Simu.tv: Fani ya urembo na mapambo imetajwa kuwa ni fani mojawapo inayoweza kuwapatia ajira vijana wengi nchini Tanzania; https://youtu.be/pMd-5IUo4ns

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...