Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto akizungumza na wananchi wa eneo la Vingunguti juu ya utatuzi na ushirikishwaji wa Wananchi katika kutatua kero zao.
Vijana wa Bodaboda wakimsikiliza kwa makini Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala katika mkutano wa kutatua kero za wakazi wa Vingunguti.
Mmoja wa wakazi wa Vingunguti akifatilia kwamakini mkutano huo ambao uliwakutanisha wananchi na Viongozi wa kata ya vingunguti katika mkutano wa kujadili namna ya kutatua changamoto za kata hiyo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...