Baada ya kusomewa taarifa ya mkoa wa Ruvuma na mkuu wa mkoa huo Dokta Binilith Mahenge katika ikulu ndogo ya Songea , Waziri mkuu wa Jamhuri ya Tanzania Kassim Majaliwa akatoa maagizo matatu ambayo ambayo mkoa huo unatakiwa kuyatekeleza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...