Baada ya kusomewa taarifa ya mkoa wa Ruvuma na mkuu wa mkoa huo Dokta Binilith Mahenge katika ikulu ndogo ya Songea , Waziri mkuu wa Jamhuri ya Tanzania Kassim Majaliwa akatoa maagizo matatu ambayo ambayo mkoa huo unatakiwa kuyatekeleza.
Home
Unlabelled
MAAGIZO MATATU YA WAZIRI MKUU KWA SERIKALI YA MKOA WA RUVUMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...