Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya mambo ya nje, Ulinzi na usalama, Katiba na sheria  Mtandao na Mbunge wa Muheza Mhe. Balozi Adadi Rajabu akiongea na  wadau kutoka asasi za kiraia unaotetea marekebisho ya sheria na sera ihusuyo usalama barabarani Tanzania 
Wajumbe wa Mtandao wa wadau kutoka asasi za kiraia unaotetea marekebisho ya sheria na sera ihusuyo usalama barabarani Tanzania
wakipewa somo
Wajumbe wa Mtandao wa wadau kutoka asasi za kiraia unaotetea marekebisho ya sheria na sera ihusuyo usalama barabarani Tanzania wakifuatilia mada
Mjumbe wa kamati ya bunge ya mambo ya nje, Ulinzi na usalama, Katiba na sheria Mhe. Profesa Anna Tibaijuka akitoa neno
Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya mambo ya nje, Ulinzi na usalama, Katiba na sheria  Mtandao na Mbunge wa Muheza Mhe. Balozi Adadi Rajabu katika picha ya pamoja na baadhi ya wabunge na wadau kutoka asasi za kiraia unaotetea marekebisho ya sheria na sera ihusuyo usalama barabarani Tanzania 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...