Kikao cha kujadili changamoto za Muungano kinafanyika katika Ukumbi wa zamani wa Baraza la wawakilishi Kikwajuni Unguja. Kikao hiki cha ngazi ya Mawaziri kinajumuisha Mawaziri kutoka Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ). Kikao hicho ni utangulizi wa Kikao cha Makamu wa Rais kitakachofanyika mchana wa leo.
Kikao cha kujadili changamoto za Muungano kinafanyika katika Ukumbi wa zamani wa Baraza la wawakilishi Kikwajuni Unguja. Kikao hiki cha ngazi ya Mawaziri kinajumuisha Mawaziri kutoka Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ). Kikao hicho ni utangulizi wa Kikao cha Makamu wa Rais kitakachofanyika mchana wa leo.
Katika Picha Sehemu wa viongozi wa Serikali ya (SMZ) katika kikao cha ngazi ya Mawaziri kinachojadili changamoto cha Muungano Mjini Zanzibar Leo.
Katika Picha Sehemu ya Viongozi wa SMT katika kikao cha ngazi ya Mawaziri kinachojadili changamoto cha Muungano Mjini Zanzibar Leo.(Picha na Evelyn Mkokoi na Lulu Mussa wa OMR).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...