Mratibu wa Mradi wa Umeme Jua wa Majaribio katika hospitali ya wilaya ya Nyamagana, Amin Abdallah (kushoto mbele) akimwongoza Msimamizi wa Mradi wa Kuwajengea Uwezo Wataalam wa Nishati na Tasnia ya Uziduaji (CADESE), Paul Kiwele (kulia mbele) pamoja na wataalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini katika ziara kwenye mradi huo.
Mratibu wa Mradi wa Umeme Jua wa Majaribio katika hospitali ya wilaya ya Nyamagana, Amin Abdallah (kulia) akielezea mfumo wa kuongozea vifaa vya umeme jua katika hospitali ya wilaya ya Nyamagana.
Mratibu wa Mradi wa Umeme Jua wa Majaribio katika hospitali ya wilaya ya Nyamagana, Amin Abdallah (kushoto) akionesha mita maalum ya kuruhusu umeme kuingia na kutoka kwenye Gridi ya Taifa.
Mratibu wa Mradi wa Umeme Jua wa Majaribio katika hospitali ya wilaya ya Nyamagana, Amin Abdallah ( wa pili kutoka kulia) akionesha karabai zinazotumia umeme jua zilizotolewa na mradi huo kwa wavuvi wa soko la samaki la Mwaloni jijini Mwanza.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...