Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia James Wambura akipongeza  wananchi  kwa  kuitikia mazoezi ,katikati ni mkuu wa  mkoa  wa Iringa Amina Masenza na mkuu wa  wilaya  Iringa Richard Kasesela
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia James Wambura mwenye kikoi shingoni akiongoza mazoezi  Iringa  leo
Mazoezi  ya  viungo  kwa afya  yakiendelea

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia James Wambura wa tatu kushoto na  viongozi mbali mbali wakiongozwa  kufanya mazoezi na Dc Iringa  Richard Kasesela,wa  kwanza  kushoto  ni mkuu  wa mkoa Iringa Amina Masenza, mbunge wa viti wa  maalum mkoa  wa Iringa  Ritta Kabati ,mbunge  wa Kilolo Venance  Mwamoto na katibu tawala  mkoa  wa Iringa  Wamoja  Ayub.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...