Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo akifungua kikao cha
Wadau wa Elimu Mkoa wa Arusha
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.
Mrisho Gambo akishirikiana na wataalamu kuweka mitambo sawa kwa ajili ya
wadau wa Elimu kuwasilisha taarifa.
Viongozi wa Halmashauri ya Ngorongoro wakifuatilia Kikao cha Wadau
wa Elimu
Wadau wa Elimu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Karatu
Kaimu Afisa Elimu Mkoa Ndg.
Emmanuel Mahondo akiwasilisha taarifa ya Elimu Mkoa wakati wa Kikao cha
wadau wa Elimu kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...