Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, KASSIM MAJALIWA amewataka wa kuu wa wilaya kufuata maelekezo ya mkuu wa mkoa ,na kwa yule ambaye ataenda kinyume na maelekezo ya mkuu wa mkoa atakuwa anajitafutia nafasi ya kuondoka. Kwa undani wa habari hii angalia video yake. Habari na www.ruvumatv.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...