Familia ya marehemu Julius Dunstan Mganga wa 21 Ali Hassan Mwinyi Road (Old Bagamoyo Rd)
Dar es salaam, wanasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa Flora Agnes Mganga kilichotokea tarehe 7 Januari 2017 katika hospital ya Muhimbili, Dar es Salaam.
Mazishi yatafanyika siku ya jumanne Tarehe 10 Januari,2017 kama ifuatavyo:
5.00 - 7.00 Mchana heshima za mwisho nyumba kwa marehemu 21 Ali Hassan Mwinyi Road,Dar es salaam
8.00 - 9.30 Misa St. Peters church Oysterbay
10.00 Mazishi makaburi ya Kinondoni
Raha ya milele umpe eeh Bwana na Mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani,AMINA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...