Familia ya marehemu Julius Dunstan Mganga wa 21 Ali Hassan Mwinyi Road (Old Bagamoyo Rd)
Dar es salaam, wanasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa Flora Agnes Mganga kilichotokea tarehe 7 Januari 2017 katika hospital ya Muhimbili, Dar es Salaam.

Mazishi yatafanyika siku ya jumanne Tarehe 10 Januari,2017 kama ifuatavyo:

5.00 - 7.00 Mchana heshima za mwisho nyumba kwa marehemu 21 Ali Hassan Mwinyi Road,Dar es salaam
8.00 - 9.30 Misa St. Peters church Oysterbay
10.00 Mazishi makaburi ya Kinondoni

Raha ya milele umpe eeh Bwana na Mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani,AMINA




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...