![]() |
Abiria wakishuka kutoka
katika kivuko cha Mv. Kigamboni kinachotoa huduma ya usafiri kati ya eneo la
Magogoni na Feri, leo Jijijini Dar es salaam.
|
Abiria wakipanda
katika kivuko cha Mv. Magogoni kinachotoa huduma ya usafiri kati ya Ferry na
Magogoni, leo Jijijini Dar es salaam.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...