Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkura (Sera, Bunge, Kazi,Vijana, Ajira na Walemavu, Bi. Jennista Mhagama akizungumza kwenye semina Semina Elekezi kwa Kamati za Bunge juu ya ushiriki wa wananchi katika uwekezaji(Local Content) iliyoandaliwa na Baraza la Taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi(NEEC) na kufadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), katikati ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge (Sheria na Bunge), Bw. Mohamed Omary Mchengerwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Baraza, Dkt. John Jingu mjini Dodoma Juzi.
KATIBU Mtendaji wa Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi. Beng'i Issa (kushoto) akiwasilisha mada kwenye semina Semina Elekezi kwa Kamati za Bunge juu ya ushiriki wa wananchi katika uwekezaji(Local Content) iliyoandaliwa na Baraza la Taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi(NEEC) na kufadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), waliokaa kutoka kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkura (Sera, Bunge, Kazi,Vijana, Ajira na Walemavu, Bi. Jennista Mhagama, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge (Sheria na Bunge), Bw. Mohamed Omary Mchengerwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Baraza, Dkt. John Jingu mjini Dodoma Juzi.
Mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), DKt. John Jingu akifafanua jambokwenye semina Semina Elekezi kwa Kamati za Bunge juu ya ushiriki wa wananchi katika uwekezaji(Local Content) iliyoandaliwa na Baraza la Taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi(NEEC) na kufadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), mjini Dodoma juzi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...