Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe magufuli akikata utepe kuashiria kufungua rasmi Kiwanda cha
kutengeneza vinywaji cha Jambo food product mara bada ya kukizindua mkoani
Shinyanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akiwa amechuchumaa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali pamoja na wafanyakazi wa Kiwanda hicho cha Kutengeneza mifuko ya Sandarusi mkoani Shinyanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe magufuli akisikiliza maelezo kutoka kwa mmiliki wa kiwanda cha
kutengeneza vinywaji cha Jambo food product
Salum Hamis Mbuzi mara bada ya kukizindua mkoani Shinyanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe magufuli akimsikiliza mmiliki wa wa kiwanda hicho cha Fresho, Fred Shoo kuhusu malighafi ya kutengenezea
mifuko ya Sandarusi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe magufuli akiangalia moja ya hatua ya utengenezaaji wa mifuko ya
Sandarusi katika kiwanda hicho cha Fresho mkoani Shinyanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe magufuli akiangalia moja ya hatua ya utengenezaaji wa mifuko ya
Sandarusi katika kiwanda hicho cha Fresho mkoani Shinyanga.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...