Rais wa Mexico, Enrique Pena Nieto, amemteua waziri wa zamani wa fedha, Luis Videgaray kuwa waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo.
Awali Luis alifutwa kazi kufuatia ziara yake nchini Marekani muda mfupi baada ya kuteuliwa kwa Donald Trump.
Akizungumzia uteuzi huo wa waziri aliyekuwa amemfukuza kazi, Rais Nieto anasema amechukua hatua hiyo ili kupitia waziri huyo mpya wa mambo ya nje kuweza kuimarisha mahusiano na ujao wa Rais wa Marekani Donald Trump. Chanzo: BBC Swahili
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...