Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza (katikati) akiwa na mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa Ritta Kabati (CCM) wakiongoza mazoezi kwa wanawake watumishi na wasio watumishi pamoja na baadhi ya wanaume leo katika uwanja wa Samora mazoezi ambayo yataendelea kila jumamosi mjini hapa Picha zote na MatukiodaimaBlog
Baadhi ya askari wanawake walioshiriki mazoezi leo uwanja wa Samora Iringa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...