SIMU.TV: Waziri mkuu Kassim Majaliwa ameagiza kuwachukulia hatua watumishi wa wilaya ya Ludewa kutokana na upotevu wa fedha za ujenzi wa ofisi ya halmashauri. https://youtu.be/x8ecaTOIXuk

SIMU.TV: Mkoa wa Mtwara unakabiliwa na upungufu wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu mbili jambo linalo sababisha kushuka kwa kiwango cha ufaulu mkoani humo. https://youtu.be/3eBUgjh765M

SIMU.TV: Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu kazi vijana na ajira Anton Mavunde amekitoza faini kiwanda cha kuzalisha nywele za wanawake aina ya Stella kwa kosa la kutokuwa na vifaa vya usalama mahali pa kazi kwa wafanyakazi wake. https://youtu.be/J69LAxOC_xo

SIMU.TV: Makamu wa rais Samia Suluhu Hassan ameishukuru serikali ya India kwa ufadhili wake wa miradi ya maji katika miji kumi na saba hapa nchini. https://youtu.be/ZH2Os6rnW88

SIMU.TV: Serikali imejipanga kikamilifu kuhakikisha inatoa huduma bora za afya kwa mama na mtoto na kukabiliana na vifo vya mama na mtoto vinavyosababishwa na uzembe. https://youtu.be/xohyKwd2QnQ

SIMU.TV: Serikali mkoani Dodoma imewataka wafanyabishara wa mkoa huo kutumia fursa ya kuanzishwa kwa kituo cha biashara cha benki ya NMB ili kukuza mitaji yao. https://youtu.be/SIUZSDWIsAM

SIMU.TV: Serikali imesema itendelea kuhimiza wafanyabiashara na wakulima hapa nchini kuongeza thamani kwa bidhaa wanazozalisha ili kupanua wigo wa biashara na mataifa ya nje. https://youtu.be/81UPJPnS9pc

SIMU.TV: Soko kuu la wilaya ya Liwale mkoani Lindi limeelezwa kukabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa vyoo vya uhakika. https://youtu.be/KA5WWh1RRSs

SIMU.TV: Serikali imeufungulia uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam na kuruhusu kutumika kwa mchezo kati ya Simba na Azam hapo kesho. https://youtu.be/aPoodwGb8Ck

SIMU.TV: Vinara wa ligi kuu Tanzania bara hapo kesho wanatarajia kuwa wenyeji katika mchezo wao dhidi ya Azam fc utakao chezwa katika uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam. https://youtu.be/Zxoh3ir9SDU

SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Dkt. Binilith Mahenge amelazimika kuitisha kikao cha dharura kwa viongozi wa soka mkoani humo kujadili namna ya kuinusuru timu ya Maji Maji kushuka daraja. https://youtu.be/gPCjM5-EjZ4

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...