Mhandisi Joseph Shega wa Nyumbu Kibaha anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi MARIETHA LUSAMBO kilicho tokea jana asubuhi katika Hospitali ya Mpanda Katavi Mazishi yatafanyika kesho Jumatatu kuanzia mchana tarehe 31 Janary 2017 wilayani Mpanda.
HABARI ZIWAFIKIE: Kaka wa marehemu Emily Lusambo akiwa Kisa Rukwa, Mhe. Sebastian Kapufi Mbunge wa Mpanda mjini, Wifi wa marehemu Angelina Kisunga wa Kibaha Pwani, Watoto wote wa marehemu, wajukuu wote waliopo Dar es salaam Arusha Kilimanjaro
Kibaha Sumbawanga, Wafanyakazi wa shirika la Nymbu kibaha, majirani wote wa kwa Kibaha kwa Mathias, pamoja na marafiki wote
Bwana ametoa Bwana ametwa
Jina lake na lihimidiwe
Amen
Jina lake na lihimidiwe
Amen
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...