Baadhi ya Wanachama cha Mapinduzi CCM Jimbo la Dimani wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar alipokuwa akizungumza katika ufungaji wa Kampeni za CCM za Uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo Dimani  leo katika uwanja wa Mpira Fuoni  Mkoa wa Mjini Magharibi 
 Maelfu ya  Wanachama cha Mapinduzi CCM Jimbo la Dimani wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar alipokuwa akizungumza nao leo katika ufungaji wa Kampeni za CCM za Uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo Dimani katika uwanja wa Mpira Fuoni  Mkoa wa Mjini Magharibi
 Wanachama wa Chama cha  Mapinduzi CCM Jimbo la Dimani wakinyanyua mikono juu kuunga mkono Hotuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar alipokuwa akizungumza katika ufungaji wa Kampeni za CCM za Uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo Dimani  leo katika uwanja wa Mpira Fuoni  Mkoa wa Mjini Magharibi
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar alipokuwa akizungumza na Wanachama wa Chama cha  Mapinduzi CCM  katika ufungaji wa Kampeni za CCM uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo Dimani  leo katika uwanja wa Mpira Fuoni  Mkoa wa Mjini Magharibi 
 Rais  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Ali Mohameed Shein, akimtambulisha Mgombea wa Ubunge Jimbo la Dimani CCM Zanzibar,Juma Ali Juma wakati wa ufungaji wa kampeni za Uchaguzi mdogo wa Ubunge wa jimbo hilo uliofanyika leo katika viwanja vya mpira Fuoni. Picha na IKULU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...