Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa akimjulia hali Sophia Mgeni ambaye ametoka kujifungua
mtoto wa kike, Waziri mkuu alitembelea Zahanati ya Madaba iliyopo wilaya ya
Songea ili kuwasikiliza wagonjwa katika zahanati hiyo Waziri mkuu yupo
Mkoani Ruvuma kwa ziara ya kukagua shughuli za maendeleo
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wauguzi wa
zahanati ya Madaba huku akiwataka waendelee na moyo waliokuwa nao wa kuwapenda
wagonjwa na kuwahudumia, kwani serekali inatambua mchango wao wanaoutoa kwa
taifa
Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa akiwahutubia wananchi wa madaba waliojitokeza kwa wingi
kumsikiliza,Waziri Mkuu alitumia nafasi hiyo kuwaelezaa Wananchi hao
juhudi za
serekali za kuwasaidia katika sekta mbali mbali ikiwemo Huduma ya bima
ya afya. Waziri mkuu yupo mkoani Ruvuma
kwa ziara ya kikazi.Picha na Chris Mfinanga
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...