Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipata maelezo ya mradi wa
maji kutoka kwa mkurugenzi wa
Halimashauri ya Madaba Bwana Safi Mpenda
Waziri Mkuu ameuzindua mradi huo ambao umejengwa katika kijiji cha Magingi
wilaya ya Songea, Mradi ambao una uwezo wa kutoa lita 200000 (laki mbili) na kuhudumia zaidi ya watu 5000 (Elfu tano) katika Halmashauri ya madaba, Songea
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimtwisha ndoo ya maji Bibi
Leonara Kibuno ikiwa ni ishara ya uzinduzi
wa mradi huo ambao umejengwa katika kijiji cha Magingi wilaya ya
Songea,Mradi ambao una uwezo wa kutoa lita 200000 (laki mbili) na kuhudumia zaidi ya watu 5000 (Elfu tano) katika Halmashauri ya madaba, Songea
Waziri mkuu Kassim Majaliwa akiwa hutubia wananchi wa
halimashauri ya Madaba.Picha na Chris Mfinanga
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...