Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipata maelezo ya mradi wa maji  kutoka kwa mkurugenzi wa Halimashauri ya  Madaba Bwana Safi Mpenda Waziri Mkuu ameuzindua mradi huo ambao umejengwa katika kijiji cha Magingi wilaya ya Songea,  Mradi ambao una uwezo wa kutoa lita 200000 (laki mbili) na kuhudumia zaidi ya watu 5000 (Elfu tano) katika Halmashauri ya madaba, Songea

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimtwisha ndoo ya maji Bibi Leonara Kibuno ikiwa ni ishara ya uzinduzi  wa mradi huo ambao umejengwa katika kijiji cha Magingi wilaya ya Songea,Mradi ambao una uwezo wa kutoa lita 200000 (laki mbili) na kuhudumia zaidi ya watu 5000 (Elfu tano) katika Halmashauri ya madaba, Songea
Waziri mkuu Kassim Majaliwa akiwa hutubia wananchi wa halimashauri ya Madaba.Picha na Chris Mfinanga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...