Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa atawasili mkoani Ruvuma kesho kwa ziara ya siku tano ambapo katika ziara hiyo atapita kukagua miradi mbalimbali ndani katika wilaya ya Mbinga na wilaya ya Songea Halmashauri ya Madaba. Kwa undani wa habari hii hii hapa video yake. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...