Mkuu wa wilaya ya Mbeya mjini Mh.William Ntinika wapili kushoto akiwa katika chumba alicho lazwa Mwenyekiti wa Ccm wilaya ya mbeya mjini Ndugu Ephraim Mwaitenda ambe kalazwa katika hospitali ya rufaa jijini Mbeya kuajili ya matibabu ya kutolewa Goroli za lisasi zilizo baki mwilini mara baada ya kupigwa risasi na mtu asie julikana mnamo tarehe- 29 januari Mwaka huu nyumbani kwake usiku akiwa amelala.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...