Baadhi ya wakazi wa meneo ya Isanga na Ilolo jijini Mbeya wakiangalia jinsi ambavyo mvua kubwa iliyonyesha siku ya jana ilivyoharibu Mashamba yao ya mboga za majani kutokana na maji kujaa mpaka katika maeneo yao ya makazi .Picha Na Fadhiri Atick Mmg Mbeya.
Kikosi cha Zimamoto na uokoji pamoja na baadhi ya wakazi wakiwa katika maeneo hayo kushuhudia na kujaribu kutoa msaanda kwa baadhi ya wakazi walio kwama kuvuka ng'ambo kutokana na maji mengi kujaa katika maeneo hayo.
Mmoja kati ya wakazi wa jiji la Mbeya akistaajabu jinsi ambavyo maji yakisonga kwa kasi kutokana na Mvua kubwa iliyo nyesha kwenye baadhi ya maeneo Jijini humo na hakuna mtu alielipotiwa  kuathirika wala kupoteza maisha.
Wakazi pamoja na wanafunzi wakitazama jinsi ambavyo maji yalivyo furika katika maeneo hayo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...