Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (aliyesimama) katikati alipokuwa akitangaza mchango wake wa fedha Shilingi za Kitanzania Millioni Kumi zilizochangwa jana wakati wa hafla ya chakula cha usiku iliyotayarishwa na Wizara ya Afya katika ukumbi wa Park Hayatt Hoteli kwa ajili ya kusaidia Hospitali ya Makunduchi na Kivunge pamoja na maadhimisho ya miaka kumi ya Mradi wa kuendeleza huduma za Afya Zanzibar (HIPZ).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akisalimiana na Mwenyekiti wa HIPZ RU Mac Donagh wakati alipowasili viwanja vya Park Hayatt Hoteli jana katika hafla ya chakula cha usiku iliyotayarishwa na Wizara ya Afya katika ukumbi wa kwa ajili ya kusaidia Hospitali ya Makunduchi na Kivunge pamoja na maadhimisho ya miaka kumi ya Mradi wa kuendeleza huduma za Afya Zanzibar (HIPZ).
Baadhi ya Viongozi na Wageni mbali mbali wakiwa katika hafla ya chakula cha usiku iliyotayarishwa na Wizara ya Afya ya kuchangia fedha kwa ajili ya kusaidia Hospitali ya Makunduchi na Kivunge pamoja na maadhimisho ya miaka kumi ya Mradi wa kuendeleza huduma za Afya Zanzibar,(HIPZ) hafla iliyofanyika jana katika ukumbi wa Park Hayatt Hoteli Mji mkongwe wa Zanzibar.
Mwenyekiti wa Mradi wa kuendeleza huduma za Afya Zanzibar,(HIPZ) RU Mac Donagh alipokuwa akitoa hutuba yake wakati wa hafla ya chakula cha usiku iliyotayarishwa jana na Wizara ya Afya kuchangia fedha kwa ajili ya kusaidia Hospitali ya Makunduchi na Kivunge pamoja na maadhimisho ya miaka kumi ya Mradi wa kuendeleza huduma za Afya Zanzibar,(HIPZ) hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Park Hayatt Hoteli Mji mkongwe wa Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake wakati wa hafla ya chakula cha usiku iliyotayarishwa jana na Wizara ya Afya kuchangia fedha kwa ajili ya kusaidia Hospitali ya Makunduchi na Kivunge pamoja na maadhimisho ya miaka kumi ya Mradi wa kuendeleza huduma za Afya Zanzibar,(HIPZ) hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Park Hayatt Hoteli Mji mkongwe wa Zanzibar.[Picha na Ikulu.]


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...